Back to home

Majambazi wahangaisha wakazi wa jiji la Nakuru

video
May 29, 2025
10 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Polisi katika Kaunti ya Nakuru wameanzika msako mkali dhidi ya majambazi watatu waliojihami kwa silaha hatari, na ambao wanashukiwa kuhusika na wizi wa kimabavu. Katika kipindi cha wiki moja iliyopita, watu watatu wameuawa huku visa kadhaa vya wizi vikiripotiwa mjini Nakuru..