Back to homeWatch Original
Kakamega: Wafanyabiashara wafanya maandamano ya amani kupinga siasa katika soko kuu
video
June 2, 2025
5 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Wafanyabiashara mjini Kakamega wamefanya maandamano ya amani kutuma ujumbe kwa wanasiasa ambao wamekuwa wakielekeza siasa zao katika soko kuu mjini Kakamega na kusababisha kupotea kwa bidhaa zao wakati polisi wanapokabiliana na vijana. Subscribe to NTV Kenya channel for latest K..