Back to home

Kakamega: Wafanyabiashara wafanya maandamano ya amani kupinga siasa katika soko kuu

video
June 2, 2025
5 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wafanyabiashara mjini Kakamega wamefanya maandamano ya amani kutuma ujumbe kwa wanasiasa ambao wamekuwa wakielekeza siasa zao katika soko kuu mjini Kakamega na kusababisha kupotea kwa bidhaa zao wakati polisi wanapokabiliana na vijana. Subscribe to NTV Kenya channel for latest K..