Back to homeWatch Original
Kesi ya kiongozi wa upinzani Tanzania yaahirishwa
video
June 2, 2025
6 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Haya yakijiri nchini, kesi ya uhaini dhidi ya kiongozi wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu imeahirishwa hadi tarehe 16 mwezi juni. Akiongoza kesi hii, Hakimu mkuu Godfrey Mhini ameagiza upande wa mashtaka kuwasilisha hali ya uchunguzi na endapo wananuiya kumfungulia mashtaka..