Back to homeWatch Original
Tongaren: Ng'ombe mja mzito auawa na ndama kutolewa tumboni
video
June 3, 2025
4 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Wakazi wa kijiji cha Rural-Mukuyuni, eneo bunge la Tongaren, Kaunti ya Bungoma wameamkia tukio la kushangaza, ambapo watu wasiojulikana walimuiba ng'ombe aliyekuwa mja mzito wa mkazi mmoja na kumkatakata kisha kumtoa ndama tumboni. Baadaye walitoweka na kichwa cha ng'ombe huyo pa..