Back to home

Tongaren: Ng'ombe mja mzito auawa na ndama kutolewa tumboni

video
June 3, 2025
4 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakazi wa kijiji cha Rural-Mukuyuni, eneo bunge la Tongaren, Kaunti ya Bungoma wameamkia tukio la kushangaza, ambapo watu wasiojulikana walimuiba ng'ombe aliyekuwa mja mzito wa mkazi mmoja na kumkatakata kisha kumtoa ndama tumboni. Baadaye walitoweka na kichwa cha ng'ombe huyo pa..