Back to home

Nakuru: Miili ya wanaume wawili iliyopatikana imetupwa kando ya barabara yatambuliwa na familia zao

video
June 3, 2025
4 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Miili ya wanaume wawili iliyopatikana imetupwa kando ya barabara eneo la Soin kaunti ya Nakuru jumapili iliyopita, imetambuliwa na familia kuwa ya Simon Yego na Collins Kipyatich kutoka kaunti ya Elgeyo Marakwet. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and e..