Back to home

Martha Karua aonya kuwa demokrasia katika jumuiya ya Afrika Mashariki inazama

video
June 3, 2025
4 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kiongozi wa chama cha PLP Martha Karua ametoa onyo kuwa mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, hasa Kenya, Uganda na Tanzania akisema zinaelekea kuzama zaidi katika dimbwi la ukiukaji wa haki za kibinadamu na demokrasia, iwapo hatua ya haraka hazitachukuliwa. Subscribe to NTV..