Back to home

Wafanyibiashara Garissa washinikiza mazungumzo kupitia changamoto za miraa

video
June 9, 2025
about 4 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Baada ya biashara zao za muguka na miraa kuathirika kutokana na marufuku katika kaunti za Kaskazini Mashariki, jamii ya wameru wanaoishi kaunti ya Garissa wamekutana kujadili mustakabali wao kwa kutafuta uongozi mpya ambao utapigania maslahi ya jamii hiyo...