Back to homeWatch Original
Hatua za kifo cha Mwanablogu Albert Ojwang
video
June 10, 2025
12 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Maswali yameendelea kuibuka kuhusu kifo tata cha mwendazake mwanablogu Albert Ojwang’ aliyechukuliwa nyumbani kwao Ijumaa mwendo wa saa saba mchana na kufikishwa katika kituo cha polisi cha Central Nairobi saa 32 baadaye. Maafisa sita wa polisi walimchukua nyumbani kwao kokwany..