Back to home

Hatua za kifo cha Mwanablogu Albert Ojwang

video
June 10, 2025
12 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Maswali yameendelea kuibuka kuhusu kifo tata cha mwendazake mwanablogu Albert Ojwang’ aliyechukuliwa nyumbani kwao Ijumaa mwendo wa saa saba mchana na kufikishwa katika kituo cha polisi cha Central Nairobi saa 32 baadaye. Maafisa sita wa polisi walimchukua nyumbani kwao kokwany..