Back to homeWatch Original
Polisi wakabiliana na wakazi katika mtaa wa London, Nakuru
video
June 10, 2025
22 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Makabiliano makali yameshuhudiwa katika mtaa wa London eneobunge la Nakuru West kati ya maafisa wa usalama na wakaazi wa eneo hilo. Wakaazi hao wakiwalaumu maafisa wa usalama kwa kumpiga risasi Duncan Nderitu jumatatu asubuhi...