Back to home

Polisi wakabiliana na wakazi katika mtaa wa London, Nakuru

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 10, 2025
1y ago
Makabiliano makali yameshuhudiwa katika mtaa wa London eneobunge la Nakuru West kati ya maafisa wa usalama na wakaazi wa eneo hilo. Wakaazi hao wakiwalaumu maafisa wa usalama kwa kumpiga risasi Duncan Nderitu jumatatu asubuhi.
Advertisement