Back to home

Polisi wakabiliana na wakazi katika mtaa wa London, Nakuru

video
June 10, 2025
22 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Makabiliano makali yameshuhudiwa katika mtaa wa London eneobunge la Nakuru West kati ya maafisa wa usalama na wakaazi wa eneo hilo. Wakaazi hao wakiwalaumu maafisa wa usalama kwa kumpiga risasi Duncan Nderitu jumatatu asubuhi...