Back to home

Mauaji ya Daniel Nderitu Nakuru

video
June 11, 2025
21 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Familia ya Daniel Nderitu,Jamaa anayedaiwa kupigwa risasi na maafisa wa polisi eneo la London, Nakuru Magharibi imejitokeza waziwazi kukashifu mauwaji ya kiholela ya Jamaa wao siku tatu zilizopita. Familia inataka haki kutendeka Na maafisa wanaodaiwa Kuhusika kufungwa...

Mauaji ya Daniel Nderitu Nakuru (Video)