Back to home

Elimu yaing’ara bajeti 2025/26 kwa mgao mkubwa wa asilimia 28.

video
June 12, 2025
27 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Waziri wa fedha John Mbadi leo hii amewasilisha makadirio ya bajeti wa mwaka 2025/2026 Bungeni, akifichua ukuaji wa uchumi wa asilimia 5.3. Katika bajeti ya shillingi trilioni 4.291, sekta ya elimu inatarajiwa kupata mgao mkubwa zaidi kwa shillingi bilioni 702.7 sawa na asilimi..