Watu zaidi wakamatwa kwa kuhusishwa na mauaji ya Ojwang'
About this video
Afisa mkuu wa polisi kituo cha central Samson Talam amekamatwa kwa madai ya kuhusika na kifo cha mwalimu na mwanablogu Albert Ojwang'. Talam alikamatwa alasiri ya leo na maafisa wa kitengo cha kuchunguza malalamishi dhidi ya polisi na kufikishwa katika ofisi za mamlaka ya kuchung..