Back to home

Mshukiwa mmoja kati ya 3 wamekamatwa kuhusiana na mauaji ya Albert Ojwang

video
June 12, 2025
1 day ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Haya yalipokuwa yakijiri, halmshauri ya utendakazi wa polisi IPOA imeripoti kuwa maafisa wa usalama wanamzuilia mshukiwa mmoja kati ya watatu waliohusishwa na mauaji ya Albert Ojwang. Mwenyekiti wa IPOA Isaack Hassan ameiambia kamati ya usalama katika bunge la kitaifa kuwa, kanda..