Back to home
Lamu yaadhimisha Siku ya kimataifa ya mikoko
video
C
Citizen TV (Youtube)July 27, 2026
1h ago
Siku ya Kimataifa ya Upanzi wa Mikoko imeadhimishwa kote duniani. Hapa nchini, hafla ya kitaifa iliandaliwa Kaunti ya Lamu huku wakazi wakihimizwa kupanda mikoko zaidi ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Rahma Rashid anatuarifu zaidi.
Advertisement
Advertisement




