Back to home

Chepkokogh bado gizani miaka 12 baada ya mradi wa stima kugonga mwamba

video
June 13, 2025
18 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kwa miaka na mikaka, eneo Chepkokogh linasalia kuwa kwenye giza kwa sababu ya kukosa stima katika eneo hilo licha ya mradi wa kuanganisha umeme kwenye eneo hilo mwaka wa 2012, mpango huo ulikwama baada ya stima kuwaka kwa wiki moja tu. Subscribe and watch NTV Kenya live for lat..

Chepkokogh bado gizani miaka 12 baada ya mradi wa stima kugonga mwamba (Video)