Back to home

Kenya Kwanza watua Machakos, watoa ahadi tele kwa wenyeji

video
June 14, 2025
about 22 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Viongozi wa Kenya Kwanza leo hii wametua eneo la Katangi kaunti ya Machakos katika mpango wa kuwawezesha wakazi wa eneo hilo kibiashara. Wakiongozwa na naibu Rais Kithure Kindiki waliipigia debe serikali ya Rais William Ruto wakitoa ahadi kochokocho kwa ajili ya Wenyeji. Subscr..