Back to home

Wakazi wa kijiji cha Muthitwa, Tharaka Nithi wanamtaka mbunge Murugara kutimiza ahadi zake

video
June 16, 2025
about 9 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakaazi wa kijiji cha Muthitwa, kilichoko katika Kaunti ya Tharaka Nithi, wamejitokeza kwa wingi kumkumbusha Mbunge wa Tharaka, Gitonga Murugara, kuhusu ahadi aliyotoa ya kuwasambazia umeme. Wanasema kuwa kwa zaidi ya miaka saba, wamekuwa wakisubiri utekelezaji wa ahadi hiyo bila..