Back to homeWatch Original
Mahakama Kuu Isiolo yampa afueni Gavana Abdi Guyo
video
June 16, 2025
about 9 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Mahakama kuu ya Isiolo imesitisha kuondolewa ofisini kwa Gavana Abdi Guyo ikisubiri kusikilizwa na kuamuliwa kwa kesi aliyoiwasilisha. Jaji Heston Nyaga aliwazuia wawakilishi wadi wa Isiolo, kuendesha hoja ya kumng'atua Guyo ofisini iliyowasilishwa bungeni mnamo Juni 10. Wawakili..