Back to home

Mahakama Kuu Isiolo yampa afueni Gavana Abdi Guyo

video
June 16, 2025
about 9 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mahakama kuu ya Isiolo imesitisha kuondolewa ofisini kwa Gavana Abdi Guyo ikisubiri kusikilizwa na kuamuliwa kwa kesi aliyoiwasilisha. Jaji Heston Nyaga aliwazuia wawakilishi wadi wa Isiolo, kuendesha hoja ya kumng'atua Guyo ofisini iliyowasilishwa bungeni mnamo Juni 10. Wawakili..