Vituo vyote vya polisi kuwa na kamera za CCTV, Waziri Murkomen atangaza
About this video
Zaidi ya vituo 1200 vya polisi vinatarajiwa kuwekwa camera za CCTV katika muda wa miaka miwili ijayo. Waziri wa usalama kipchumba murkomen pia ametangaza kuwa kitabu cha matukio ya polisi -OB- sasa kitawekwa kidijitali. Hatua hiyo inajiri kufuatia ghadhabu ya kitaifa kuhusu kifo ..