Back to home

Viongozi wa Murang'a walaani vitendo vibaya vya polisi

video
June 19, 2025
9 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Viongozi wa Murang'a wamelaani tukio la hivi karibuni la polisi aliyeonekana akimpiga risasi muuzaji wa barakoa asiye na silaha jijini nairobi, wakati wa maandamano ya amani kudai haki kwa mwalimu Albert Ojwang aliyeuawa mikononi mwa polisi. Viongozi hao wakiwemo Mbunge wa Kangem..