Back to homeWatch Original
Ofisi kadhaa za serikali ikiwemo mahakama ya Kikuyu zateketezwa
video
June 25, 2025
about 8 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Ofisi kadhaa za serikali ikiwemo mahakama ya Kikuyu, Afisi za eneo bunge hilo na vituo vya polisi vya Kikuyu na Olkalou zimeteketezwa kwenye maandamano ya leo. Magari kadhaa ya polisi yamechomwa kwenye kizaazaa cha leo, huku pia maduka ya kibinafsi yakiharibiwa maeneo ya kati...