Back to home

Walimu wa Kwale wa KUPPET wataka inspekta mkuu ajiuzulu

video
June 17, 2025
16 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Walimu wa chama cha KUPPET Tawi la Kwale sasa wanashinikiza kujiuzulu kwa inspekta mkuu wa polisi Douglas Kanja na waziri wa usalama Kipchumba Murkomen kufuatia mauaji ya mwalimu mwenzao Albert Ojwang..