Back to home

Maafisa wawili wanazuiliwa, kuwasilishwa mahakamani

video
June 18, 2025
13 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Idara ya polisi jana iliagiza kukamatwa kwa afisa wa polisi aliyempiga risasi mchuuzi wa maski katikati mwa jiji la Nairobi. Taarifa kutoka idara ya polisi ikisema kuwa, imeghadhabishwa na tukio hilo la kupigwa risasi kwa raia ambaye hakuwa amejihami. Aidha taarifa hiyo ya punde ..

Maafisa wawili wanazuiliwa, kuwasilishwa mahakamani (Video)