Back to homeWatch Original
Wafanyabiashara wapata hasara kubwa baada ya maduka yao kuvamiwa wakati wa maandamano
video
June 18, 2025
about 8 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Baadhi ya wafanyabiashara katikati ya jiji la Nairobi walipata hasara ya mamilioni baada ya maduka yao kuvamiwa wakati wa maandamano yaliyoingiliwa na magenge hapo jana. Wafanyabiashara hawa wakiripoti kuwa baadhi ya bidhaa zao ziliibwa na watu waliovalia sare za polisi...