Back to homeWatch Original
Kizaazaa cha shuhudiwa katika hospitali ya KNH
video
June 18, 2025
about 7 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Kizaazaa kilishuhudiwa katika hospitali ya rufaa ya Kenyatta baada ya wanafunzi wa chuo kikuu cha Kenyatta kufika kumchukua mwenzao Philip Oketch, aliyepigwa risasi kwenye vurumai la maandamano hapo jana. Phillip Oketch ambaye ni mmoja wa watu waliopigwa risasi jijini Nairobi baa..