Back to home

Kizaazaa cha shuhudiwa katika hospitali ya KNH

video
June 18, 2025
about 7 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kizaazaa kilishuhudiwa katika hospitali ya rufaa ya Kenyatta baada ya wanafunzi wa chuo kikuu cha Kenyatta kufika kumchukua mwenzao Philip Oketch, aliyepigwa risasi kwenye vurumai la maandamano hapo jana. Phillip Oketch ambaye ni mmoja wa watu waliopigwa risasi jijini Nairobi baa..