Back to home

Kipute cha CECAFA 2025

video
June 18, 2025
about 10 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Timu ya taifa ya kandanda ya wanawake ya Kenya Harambee Starlets ilionyesha nia ya kutwaa ubingwa wa michuano ya wanawake ya CECAFA baada ya kuifunga uganda kwa mabao 4-0, ushindi wao wa pili mkubwa katika mashindano hayo nchini Tanzania...