Back to home

Wafanyabiashara wasema wamelaghaiwa zaidi ya ksh.20m

video
June 19, 2025
28 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wafanyabiashara zaidi ya 25 mjini Diani kaunti ya Kwale wamedai kulaghaiwa na mwekezaji mmoja aliyeahidi kuwakodishia vyumba vya biashara ila hajatimiza makubaliano yao licha ya kupokea malipo...