Back to homeWatch Original
Utata umeibuka baina ya wakazi zaidi ya 200 na aliyekuwa spika wa kaunti ya Lamu
video
June 19, 2025
about 5 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Utata umeibuka baina ya wakazi zaidi ya 200 na aliyekuwa spika wa kaunti ya Lamu Mohammed Fumo kuhusu umuliki wa kipande cha ardhi cha ekari 3.16 HUKO Utange Mombasa. Kulingana na wakazi hao, wameishi katika ardhi hiyo kwa zaidi ya miaka 40 na kuwa utata huo bado uko mahakamani..