Back to home

Zaidi ya wakazi 200 walalamikia ardhi Utange, Mombasa

video
June 19, 2025
2 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Utata umeibuka kati ya wakazi zaidi ya 200 na mwanasiasa mmoja kuhusu umuliki wa kipande cha ardhi cha ekari tatu eneo la utange kaunti ya mombasa. Wakaazi hawa wakimlaumu aliyekuwa spika wa kaunti ya lamu mohammed fumo kwa kutwaa shamba wanalodai ni lao...