Back to homeWatch Original
Zaidi ya wakazi 200 walalamikia ardhi Utange, Mombasa
video
June 19, 2025
2 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Utata umeibuka kati ya wakazi zaidi ya 200 na mwanasiasa mmoja kuhusu umuliki wa kipande cha ardhi cha ekari tatu eneo la utange kaunti ya mombasa. Wakaazi hawa wakimlaumu aliyekuwa spika wa kaunti ya lamu mohammed fumo kwa kutwaa shamba wanalodai ni lao...