Back to home

Kiambu: Gharama Zaidi za Lishe ya Kuku Zawazua Hasara kwa Wakulima Kabete

video
June 19, 2025
about 11 hours ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakulima wanaofuga kuku wa mayai na wafanyabiashara katika soko la Wangige eneo bunge la Kabete walalamikia hasara kubwa inayochangiwa na gharama ya juu ya lishe ya kuku huku mayai nayoagizwa kutoka nje yakiwauzwa kwa bei nafuu ukilinganisha na ya humu nchini. Subscribe to NTV K..