Back to homeWatch Original
Hussein Mohamed na Mohamed Abdi wafungwa miaka 30
video
June 20, 2025
about 11 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Mahakama imewahukumu kifungo cha miaka 30 watu wawili waliopatikana na hatia ya kuhusika na shambulizi la kigaidi la hoteli ya Dusit ambapo watu 21 waliuawa...