Spika Wetangula atetea polisi kufuatia mauaji ya Ojwang na mchuuzi
About this video
Spika wa bunge la kitaifa, Moses Wetangula ametetea maafisa wa polisi dhidi ya lawama za jumla baada ya mauaji ya mwalimu Albert Ojwang na kupigwa risasi kwa mchuuzi jijini Nairobi. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans...