Back to home

Kenya kuandaa kombe la dunia la mchezo roliboli

video
June 21, 2025
10 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kwa mara ya kwanza, Kenya itakuwa mwenyeji wa mchuano wa dunia wa roliboli kwa chipukizi utakaoanza Jumapili hii katika uwanja wa ndani wa Kasarani. Kenya itakayowakilishwa na vijana chini ya miaka 17 imekuwa kambini kwa wiki moja, kikosi hicho kikiahidi kunyakuwa taji hilo. Ma..

Kenya kuandaa kombe la dunia la mchezo roliboli (Video)