Back to home

Kenya kuandaa kombe la dunia la mchezo roliboli

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 21, 2025
2mo ago
Kwa mara ya kwanza, Kenya itakuwa mwenyeji wa mchuano wa dunia wa roliboli kwa chipukizi utakaoanza Jumapili hii katika uwanja wa ndani wa Kasarani. Kenya itakayowakilishwa na vijana chini ya miaka 17 imekuwa kambini kwa wiki moja, kikosi hicho kikiahidi kunyakuwa taji hilo. Ma