Back to home

Wananachi kupewa huduma za afya kaunti ya Kajiado

video
June 23, 2025
about 12 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Shirika la Amref kwa ushirikiano na wizara ya afya katika kaunti ya Kajiado limeanza kutekeleza mpango wa one health, ambao unajumuisha wakazi kupewa matibabu ya bure pamoja na kutoa chanjo kwa mifugo na wanyama wengine wa nyumbani kama vile mbwa na paka. Mpango huo ambao unatara..