Wananachi kupewa huduma za afya kaunti ya Kajiado
About this video
Shirika la Amref kwa ushirikiano na wizara ya afya katika kaunti ya Kajiado limeanza kutekeleza mpango wa one health, ambao unajumuisha wakazi kupewa matibabu ya bure pamoja na kutoa chanjo kwa mifugo na wanyama wengine wa nyumbani kama vile mbwa na paka. Mpango huo ambao unatara..