Back to home

Gavana ntutu aahidi watalii kuwa usalama umeimarishwa

video
June 23, 2025
about 11 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Gavana wa Kaunti ya Narok Patrick Ole Ntutu ameahidi kuimarishwa usalama wa wageni wa kimataifa msimu wa Utalii katika mbuga ya Maasai MaraAkizungumza katika sherehe ya ufunguzi wa nyumba katika Kijiji cha Enkineji eneo bunge la Narok Magharibi, Gavana Ntutu pia ametoa hakikisho ..