Wazee wa Isiolo wamtetea Gavana Guyo dhidi ya MCA
About this video
Wazee kutoka jamii zote zinazoshi katika Kaunti ya Isiolo, wametoa onyo kali kwa wawakilishi wadi wa Bunge la Kaunti wanaoendeleza juhudi za kumng’oa Gavana Abdi Guyo kupitia hoja ya kumwondoa madarakani, wakisema hawapaswi kuruhusu wanasiasa kutoka kaunti jirani kuwatumia kwa ..