Polisi wachunguza vifo vilivyosababishwa na umeme Kikuyu
About this video
Polisi kutoka Kikuyu wameanzisha uchunguzi kufuatia vifo vya wafanyakazi wawili wa Fairmat Supermarket Sylus Keter na Peter Kinyanjui Njeri waliodaiwa kufariki baada ya kupigwa na umeme walipokuwa wakitekeleza majukumu yao katika tawi la kampuni hiyo lililoko Zambezi, eneo bunge ..