Back to home

Polisi wachunguza vifo vilivyosababishwa na umeme Kikuyu

video
June 23, 2025
about 8 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Polisi kutoka Kikuyu wameanzisha uchunguzi kufuatia vifo vya wafanyakazi wawili wa Fairmat Supermarket Sylus Keter na Peter Kinyanjui Njeri waliodaiwa kufariki baada ya kupigwa na umeme walipokuwa wakitekeleza majukumu yao katika tawi la kampuni hiyo lililoko Zambezi, eneo bunge ..