Serikali yahakikishia wazazi maandalizi thabiti ya mpito wa wanafunzi wa Gredi ya 9
About this video
Serikali imetoa hakikisho kwa wazazi na wadau wa sekta ya elimu kuwa maandalizi ya mpito wa wanafunzi wa gredi ya 9 hadi shule za sekondari yapo imara huku ikiwataka walimu kusaidia wanafunzi kuchagua karia (career)zitakazooana na dhamira yao. Subscribe to NTV Kenya channel for..