Back to homeWatch Original
Kampuni ya maji yalaumiwa kwa kusababisha hasara ya maji
video
June 27, 2025
2 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Maafisa wa kampuni inayoshughulikia maji na usafi wa mazingira katika kaunti ya Bomet walikuwa na wakati mgumu kujibu maswali kutoka kwa wanachama wa kamati ya bunge la seneti iliyofika Bomet kutathmini hali ya ukosefu wa maji kutokana na ripoti ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serik..