Baadhi ya majeruhi bado wa maandamano wa Jumatano wanasubiri matibabu hospitalini
About this video
Siku tatu baada ya maandamano yaliyosababisha vifo vya watu 19 na wengine 531 kujeruhiwa. Baadhi ya waliojeruhiwa wangali hospitalini wakisubiri kuhudumiwa huku risasi zikiwa bado zimesalia mwilini. Ian Mwangi Maina, aliyepigwa risasi mbili mguuni anasema tangu kufikishwa hospita..