Back to home

Baadhi ya majeruhi bado wa maandamano wa Jumatano wanasubiri matibabu hospitalini

video
June 28, 2025
about 8 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Siku tatu baada ya maandamano yaliyosababisha vifo vya watu 19 na wengine 531 kujeruhiwa. Baadhi ya waliojeruhiwa wangali hospitalini wakisubiri kuhudumiwa huku risasi zikiwa bado zimesalia mwilini. Ian Mwangi Maina, aliyepigwa risasi mbili mguuni anasema tangu kufikishwa hospita..

Baadhi ya majeruhi bado wa maandamano wa Jumatano wanasubiri matibabu hospitalini (Video)