Back to home

Viongozi wa dini washutumu mauaji na uharibifu katika maandamano

video
June 28, 2025
about 5 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Viongozi wa kidini kutoka maeneo tofauti nchini wameshtumu mauaji na kujeruhiwa kwa waandamanaji siku ya Jumatano. Viongozi hao wamewataka vijana kupunguza mori na kulinda taifa kwa kuwa maandamano hayo yanasababisha hasara. Pia wamemtaka rais william ruto kuwasikiza vijana hao..