Back to homeWatch Original
Viongozi wa dini washutumu mauaji na uharibifu katika maandamano
video
June 28, 2025
about 5 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Viongozi wa kidini kutoka maeneo tofauti nchini wameshtumu mauaji na kujeruhiwa kwa waandamanaji siku ya Jumatano. Viongozi hao wamewataka vijana kupunguza mori na kulinda taifa kwa kuwa maandamano hayo yanasababisha hasara. Pia wamemtaka rais william ruto kuwasikiza vijana hao..