Back to homeWatch Original
Geoffrey Chesoni, mwanablogu aliyetekwa nyara na polisi Mombasa aeleza mateso aliyopitia
video
June 28, 2025
about 16 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Mwanablogu aliyetekwa nyara Jumanne katikati ya jiji la Mombasa amesimulia kichapo alichopitia mikononi mwa maafisa wa polisi kwa siku tatu. Geoffrey Chesoni anadai kusafirishwa hadi msituni huko Voi na kuchapwa, kutishiwa maisha na maafisa saba kabla ya kuletwa ikulu ya Mombasa..