Back to homeWatch Original
Siku ya Vitiligo yaadhimishwa kwa kutoa hamasisho
video
June 28, 2025
about 21 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Chama cha vitiligo nchini Kenya kimeadhimisha siku ya vitiligo duniani jijini Nairobi kwa lengo la kuhamasisha watu kuhusu ugonjwa wa vitiligo unaosababisha kupotea kwa rangi ya ngozi na mabaka mepesi kwenye ngozi. Siku hii iliadhimishwa kwa matembezi kuzunguka Nairobi CBD na hud..