Back to home

Siku ya Vitiligo yaadhimishwa kwa kutoa hamasisho

video
June 28, 2025
about 21 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Chama cha vitiligo nchini Kenya kimeadhimisha siku ya vitiligo duniani jijini Nairobi kwa lengo la kuhamasisha watu kuhusu ugonjwa wa vitiligo unaosababisha kupotea kwa rangi ya ngozi na mabaka mepesi kwenye ngozi. Siku hii iliadhimishwa kwa matembezi kuzunguka Nairobi CBD na hud..

Siku ya Vitiligo yaadhimishwa kwa kutoa hamasisho (Video)