Back to home

Kampeni ya chanjo ya HPV kwa wasichana yaanzishwa Samburu

video
June 30, 2025
18 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Ugonjwa wa saratani ukisalia miongoni mwa maradhi yanayochangia vifo vingi humu nchini,wadau wa afya kaunti ya Samburu,wameanzisha kampeni ya kutoa chanjo ya HPV inayowalenga wasichana wenye umri wa kati ya miaka tisa na kumi na nne ili kuwalinda dhidi ya maambukizi ya saratani y..