Back to homeWatch Original
Wetangula awakosoa waliopanga vurugu
video
June 30, 2025
about 7 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Spika wa Bunge la Taifa, Moses Wetang’ula, ametoa wito kwa vyombo vya usalama kuhakikisha kuwa wote waliohusika katika kupanga na kushiriki vurugu wakati wa maandamano ya jumatano wiki iliyopita wanakabiliwa na mkono wa sharia..