Viongozi wa D.A.P-K wamtaka Eugene Wamalwa kumuachia gavana Natembeya uongozi wa chama hicho
About this video
Baadhi ya viongozi wa chama cha D.A.P-K katika Kaunti ya Trans Nzoia sasa wanamtaka kinara wa chama hicho, Eugene Wamalwa, kumuachia Gavana wa Trans Nzoia, George Natembeya, uongozi wa chama hicho wakidai gavana huyo ana nafasi bora ya kukiendesha. Subscribe and watch NTV Kenya ..