Back to home

Naibu rais Kindiki asema wako tayari kupoteza umaarufu

video
June 30, 2025
about 6 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Naibu rais Kithure Kindiki sasa anasema ni heri kwa serikali kupoteza umaarufu wake kuliko kupoteza mwelekeo wa taifa. Kindiki aliyewaongoza viongozi wanaoegemea kenya kwanza kwa Zoezi la uwezeshaji katika maeneo bunge ya Kathiani na mwingi ya kati, pia amewazomea viongozi wa upi..