Back to home

Amin: Watu 485 walikamatwa wakati wa maandamano

video
June 30, 2025
about 14 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mkurugenzi mkuu wa idara ya upelelezi Mohammed Amin amesema idara hiyo haimtafuti aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua, kufuatia machafuko yaliyoshuhudiwa wakati wa maandamano ya gen z jumatano iliyopita.kwenye kikao na wanahabari alasiri ya leo, amin amesema kuwa watu zaidi ya ..