Back to home
Wanaharakati Mombasa wataka waliotekwa nyara waachiliwe
video
C
Citizen TV (Youtube)July 1, 2025
12mo ago
Mashirika ya kutetea haki za kaunti ya mombasa wameshtumu kukamatwa kwa baadhi ya wanaharakati katika kaunti za Mombasa, Nairobi, nyandarua na Kisumu. Wanaharakati hao wanailaumu serikali wakisema ni njama ya kuzima sauti kuhusu haki
Advertisement
Advertisement




