Back to home

Wanaharakati Mombasa wataka waliotekwa nyara waachiliwe

video
July 1, 2025
about 15 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mashirika ya kutetea haki za kaunti ya mombasa wameshtumu kukamatwa kwa baadhi ya wanaharakati katika kaunti za Mombasa, Nairobi, nyandarua na Kisumu. Wanaharakati hao wanailaumu serikali wakisema ni njama ya kuzima sauti kuhusu haki..