Back to home

Viongozi wa na vijana wataka majadiliano ya kuleta amani

video
July 1, 2025
4 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Siku chache baada ya maandamano yaliyofanyika maeneo mbalimbali nchini wiki Jana na kusababisha uharibifu mkubwa, wakazi na viongozi katika kaunti ya Murang'a wamehimiza vijana kukumbatia mazungumzo kama njia thabiti ya kutatua migogoro, badala ya maandamano na ghasia..

Viongozi wa na vijana wataka majadiliano ya kuleta amani (Video)